Recent content by maguniolaf

  1. maguniolaf

    Makonda acha siasa kwenye barabara za Dar!!

    Nawe ni boya vilevile; kama hao makandarasi waliokula fedha zetu wakaenda kujijengea nyumba za kifahali ili waishi kama wafalme na familia zao! Huku Watanzania wengi wakiteseka kwa ajili ya upumbavu uchu, na uroho wa hawa makandarasi tunaowaita wazawa. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. maguniolaf

    BAVICHA: Rais John Magufuli ajitokeze hadharani kuzungumzia aibu hii

    Ni Richardmonduli[emoji1] [emoji1] [emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. maguniolaf

    BAVICHA: Rais John Magufuli ajitokeze hadharani kuzungumzia aibu hii

    Hivi kuna uhusiani gani wa moja kwa moja kati ya utawala wa Rais Magufuli na utawala wa kipindi hicho? Ni nani asiyejua kwamba waliokua wanapewa dhamana ya kutangaza tenda za miundombinu, hususani barabara kwa utawala wa nyuma ulikuwa ni wa ten 10%? Au BAVICHA mnatafuta pa kutokea? Hulo swali...
  4. maguniolaf

    SAKATA la Bombadier: Tundu Lissu ni mmoja wa samaki wadogo. Atutajie zile kubwa

    Waliodhani ni nguvu ya soda watashindwa wao. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. maguniolaf

    Rais Mstaafu Kikwete aonesha mifugo anayofuga kijijini Msoga, Chalinze

    Na Sumaye aoneshe mifugo yake pia sio kulialia na kuomba huruma kwa wananchi. Muda huo umekwisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. maguniolaf

    Kwanini naona Rais Magufuli ameshindwa kuongoza Taifa...

    Rais hawezi ongoza nchi kama unavyotaka wewe na vilaza wenzio. Wapiga dili zilizofeli nyie. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. maguniolaf

    Waziri wa Uchukuzi asaini mkataba wa ununuzi wa rada 4 za kuongoza ndege

    Utajua wewe kivyako. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. maguniolaf

    Sumaye afunguka suala la familia yake kunyang'anywa mashamba mawili!

    Bado atafunguka sana kwani muosha ndo anaoshwa sasa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. maguniolaf

    Aliyevujisha siri ya Bombadier kwa Lissu asakwa

    Njaa ni kwako wewe na familia yako kwasababu ni wavivu hamtaki kufanya kazi. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. maguniolaf

    Aliyevujisha siri ya Bombadier kwa Lissu asakwa

    Acha akamatee iwe funzo kwa waropokaji wengine. Usicheze na Serikali ina vidole vingi. Hii sio enzi ileee! ya kuishi kwa tetesi. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. maguniolaf

    Aliyevujisha siri ya Bombadier kwa Lissu asakwa

    Eeh! Kama mlivyokufa njaa mwaka jana.mlivyokuwa mnamshinikiza rais atangaze baa la njaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. maguniolaf

    Mbowe kakimbia ofisi?

    Ila Sacco's ya wachaga kwa sasa imekosa mvuto!!. Chademaaaa! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. maguniolaf

    Mbowe kakimbia ofisi?

    Kaenda kujipanga kwa kiki nyingine mkuu. Akiibuka, we! Si magazeti hayo kuuza. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. maguniolaf

    Nimeamini CCM kwa sasa imezidiwa na CHADEMA kwa hoja na propaganda

    Hivi kuna Chadema tena dunia hii? Au kuna TL vs CCM? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. maguniolaf

    Kinachoendelea nchi hii ni Ubaya kwa Ubaya

    Pumba 100% Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom