hii ina shangaza sana tufanyaje juu ya watu hawa maana kuna ukweli ndani yake Mungu asikie kilio chetu kama alivyo sikia cha wana wa israeli atutumie Musa wa sasa tutoke utumwani laana ilisha sasa inakuwaje
hujamaa anataka kujifanya yeye mafisadi kawa soma kwenye gazeti kuwa ni wanneeeeeee na wakati wanachama chao cha mafisadi kilianzishwa hotelini na huwa wanakutana yeye ni quit ledaaaaa
kwa sababu ushindani upo mwakalinga kaja kutoka uk angalau nayeye andikwe kwenye magazeti mwenzake sio magazeti mpaka luninga nakwanguvu za mungu anaishi hajafa na ajali nikusudi alitumikie taifatena Mwakiembe kama magufuli kyela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.