Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu ,Nina mdogon wangu ameomba mkopo tangu mwishoni mwa November mwaka Jana mpaka Leo ni miezi 4 hajapewa mkopo.
Makao makuu CRDB wameshapitisha huo mkopo kwamba apewe (wame approve) hyo approval INA zaidi ya mwez lakin bado pale branch wanamzingua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.