Pia katika andiko hili nilijaribu kuongelea sana vifaa vinavyotumia teknolojia mpya hasa ya molecular biology, naamini inabidi tutoke kwenye hizi diagnosis za kila siku, tuhamie kweny ulimwengu wa molecular biology, tuextract DNA tuka analysis tupata majibu yakuaminika.
Unachosema ni kweli, mimi kwa maoni yangu sio kweli kwamba kila kituo lazima kiwe na vifaa hivyo vya kisasa, ila nilikua naona kuna haja yakusogeza huduma hizi kwa raia angalau hata katika ngazi ya wilaya mtu awe anaweza kupata huduma ambayo saivi inabidi aende hospitali ya rufaa, naamini kama...
Ni kweli kabisa, sasa hivi ulimwengu unaenda katika kumtibu mtu kutokana na vinasaba vyake(personalized medicine/precision medicine) ila kwetu hapa bado molecular biology and biotechnology ni mjadala inasikitisha kwa upande mwingine, natamani kuona juhudi za THGO(Tanzania Human genetics...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.