Wazungu msiwahusishe kwa uvaaji. Wazungu wanajiheshimu sana uvaaji kwenye misiba si wanawake si wanaume. Kwa kweli wanavaa vizuri zaidi waendapo makanisani.
Watawala mafisaji wanapambana na mafisaji kwa maslahi yao siyo ya wananchi. Mpaka mahakama za mafisaji zimeundwa lakini mpaka Sasa hakuna mtu hata mmoja aliyehukumiwa.
Ccm wangeendelea na Sera zao za porojo zingewasaidia kidogo wajinga walikuwepo bado lakini kosa kubwa kwa wananchi kutumia Polisi na mtutu wa Bunduki. Wajinga wengi wameamka hata mkoloni alishindwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.