kifo ni mara moja, hicho cha pili ni chako kupiga mateke watu waliokuwa wamezimia na madaktari kutokuwa makini kuthibitisha, teke lako huwapa mshutuko mkubwa na kufa! waziri mkuu mmoja alienda kuiona maiti ya dereva aliefariki kwenye ajali ya msafara wake, alipoikuta maiti inatoka damu alishauri...
katika nchi za kiafrika wakati wa sensa idadi ya watoto chini ya miaka 18 huwa kubwa kuliko watu wazima, lakini wakati wa kuandikisha wapiga kura idadi ya watu wazima huwa kubwa kuliko watoto!
kwa maoni yangu ni pigo kwa ukawa kwa upande tofauti ya ulivo eleza, ni nafasi ya chama tawala chenye nguvu kubwa ya kifedha(japo uhalali wake u mashakani) kurubuni mawakala wa ukawa vituoni, au kuhonga wasimamizi wa vituo ambavyo ukawa watashindwa kuweka mawakala
Matokeo ya mtihani hutegemea na maandalizi aliofanya mtahiniwa na si maombi, hata hivo hakuna uhalisia katika upimaji kwani hata kubahatisha kupo, mitihani yote ni ya kuchagua jibu (multiple choice) hata hesabu!
itakuwa ni watu wa hesabu hao, hawaendi kupewa majimbo ya kugombea bali wamecheza na namba: wamegawa, wakazidisha, wakaongeza wakaona inayobaki ni kutoa, la! wakashtuka, ushindi hakuna bora tuvute pesa na kutangaza kujitoa!
daftari la wadhamini ni mali ya serikali, mtu kuondoka nalo ni kuvunja sheria, bunda hakuna polisi? hawakupewa taarifa? au ndio kawaida ya bora liende?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.