Najitahidi kukuelewa , ila kama wewe ni MWANAUME tambua kuwa FURAHA sio suala la msingi sana wala usiliweke kipaumbele kwenye maisha yako, jitahidi kufanya maisha yako yakae sawa au vizuri zaidi ya ulipo ,.
Ninachofahamu mimi binafsi, ni kuwa huwa wasema hivyo hivyo(nikuzalie) ila akizaa tu, trip za kwenda dawati utaziona , utahangaika sana kulea mtoto huyo.
Nimejaribu kukuelewa kwa upande wako, ila watu wakisema majukumu ,hawamaanishi majukumu ni yanafanana. Kila mwanaume huwa anaweka rules zake kwenye ndoa yake ambazo ni za ziada ,ila kuna majukumu ambayo ni universal kwa WANAUME ,na mwanaume ili uwe mwanaume lazima uwe PROVIDER,sisemi ufanye kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.