Jamani katika hiyo Htuba yake je Mmesikia pale aliposema, Tusameehane sasa, na tusahau ya nyuma. Nanukuu " Yaliyopita Si ndwele tugange yajayo, sisi wote ni watanzania na tuna mapungufu yetu, lazima tukubali kusaheeana na kumove one" Sasa ina maana kutokana na hiyo kauli, je hoja muhimu ya...