Kabisaa....Kuna wahudumi wa afya hapa kijijini ni wa hivyo sana yaani ole wako uonekane na UTI tu kwenye kipimo haukuachi anakudunga ceftriaxone tano halafu kila Moja ni elfu saba wakati maduka ya jumla yanauza mia sita 🤔🤔
Mi sikutaka kuletwa hapa ..mods mmenileta huku ambapo sikupataka ..nataka ule Uzi uliondikwa DONDOSHA KITABU CHOCHOTE KWA NJIA YA PDF.
Huo Uzi ndio ninaotaka maana niliufikia mara moja tu na bahati mbaya kabla sijacomment chochote nikatoka sasa umepotea nimetumia Kila njia kuufikia...
DONDOSHA KITABU CHOCHOTE KWA NJIA YA PDF
Naomba link ya huu Uzi ..nlikuwa naufatilia sasa ghafra umepotea na nimeutafuta siipati...naomba kusaidiwa namna ya kuupata ndugu zangu
Kabisaa yaani....utashangaa mwanamke ni mke wa mtu lakini ni mchepuko wa x wake ....ogopa Sana x anayekutaka Baada ya kuolewa na mara nyingi hiki huwa ni kikwazo kigumu Sana kwa mwanamke kukiruka.... Matokeo yake anayakoroga huko kwa Mme na x anamkimbia anabaki kuita wanaume wote mbwa......
Anayebisha abishe Kwa ushabiki tu kwa wasanii wa kike rubby ana sauti nzurii.....narudia hata huyo komandoo amekiri mara nyingi kwenye mahojiano kuwa rubby Kwa sauti ni wamoto.....
Achana naye Bado mapema kabisa huyo...wewe ndio uliyempenda na ndio maana ukatangaza ndoa harakaharaka ila wewe Wala haupo moyoni mwake...anampenda huyo x na pengine hata hawakuwa wameachana ila ulidanganywa
Hii ndio shida ya Hawa Eva wetu....yaani msela kamtumia kitambo akaona amuweke pembeni jamaa umemfanya wife ukamtunza na kumuogesha jamaa limejisogeza Tena daah...na mara nyingi huwa sio rahisi Hawa viumbe kuruka hiki kiunzi Cha ma x.....
Kwa kuwa umegundua kaa naye chini ongea naye kistaarabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.