Ualim os not a cursed job shida waali
mu hatujui thamani yetu na we dont put a price tag on ourselves,as a result tunaacha mtu mwingine aweke thamani kwetu......kutana na mwalimu anajua thamani yake ukweli atalipwa kulingana na thamani yake.
Nature has its own rewarding system
TAFUTA MWALIMU...
Ni ngumu saana kurudisha imani ila ni ngumu zaidi kuanza upyaaaa hasa kama watoto wako kati yenu, waweza jidanganya mwaka ama miwili ila inafail....sikushauri hata kidogo take ur time, heal and all shall be well, wanaume ni walewale na wanawake ni walewale...kubwa duaaa!!!
Bottom line zimwi...
I love Lissu,I love my sweet president,I love Tanzania.....Raisi ameonyesha njia,Lissu amesaidia kuongezea kumulika wezi, NAIMANI Rais atachukua hatua,ila maswali ya msingi ni kama aliyoyauliza Lissu.JE WALIOHUSIKA WATASALIMIKA?
Busara kubwa yahitajika namna ya kuliendea hili.
Lisu umejaa hekima...
Mm ni mzazi.Sizalii serikali......nazaa nalea watt na kusomesha.Serikali isaidie pale mzazi asipoweza.Africa tumezoea kila kitu tufanyiwe na serikali....kazana kuzaa usubiri serikali ikusomeshee watt....tutaendelea kuwa na taifa la kila kitu serikali.Untill u change ur mindset...mengine...
Niseme jambo moja litakalokuwa msaada kwetu wote,kama mzazi nasema hivi si kazi ya serikali kusomesha watt tunaozaa bali ni wajibu wa mzazi kusomesha mtt huyo serikali ikisaidia kusomesha ni msaada tu na sio wajibu na msaada ni kwa wazazi wasio weza kabisa kusomesha watt.Naamini asilimia kubwa...
Habari wanajamvi.
Mi ni mzalishaji wa bidhaa za chakula hasa sembe, mchele brown na white (mbeya kyela), maharage nk. Ningependa nipanue wigo wangu, natamani kufanya biashara na kenya na sudani kusini,ila zaidi sudan kusini tatizo connection na namna ya kupata taarifa sahihi za kodi na malipo...
Watanzania tusiishie kulalamika majukwaani tu....haitusaidii saana,we go front and ask wahusika maana kulalamika chinichini na tena kwawatu ambao majibu hawana kama wewe ulieanzisha mada na wachangiaji wengine ni kupiga tu kelele!!!Better kuandika mapendekezo kwa vyombo husika ya kwamba mbio za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.