Tunapoamua kuwa waadilifu basi tuwe wote, isijekuwa unajifanya mwadilifu kumbe nyuma ya pazia ni mwovu. Naona nyote mnamzungumzia Blandina Nyoni kwa kusikia watu wanavyosema, shukuruni Mungu hamjawahi kuwa surboninate wake ni hatari
Mwigulu na Wasira angalieni qualifications za madiwani. mi nilidhaniwagombea udiwani walitakiwa wawe na sifa kama za wagombea ubunge au ikibidi zaidi ili kuzisimamia vizuri Halmashauri zetu ambazo ndo major recepients wa rasilimali za nchi hii.
Hapo hata waje wawakilishi toka mbinguni nchi hii,maendeleo itakuwa hatua mbili mbele tatu nyuma. ISSUE HAPA NI MUUNDO WA HALMASHAURI ZETU, NO BODY IS SAYING ANYTHING ABOUT IT.
madiwani hawana uwezo wa kusimamia rasilimali zinazopelekwa kwenye halmashauri. madiwani wanachowaza wao no posho tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.