Recent content by maganyilo

  1. M

    Askofu Kakobe: Usalama wa Taifa msihangaike nami. Adai kuna kiongozi kavaa hirizi!

    anaheshim utawala wa serikali ndiye atakuwa anaheshim Mungu anayemtumikia ,maana au kwa maana serikali popote duniani kichwa chake Mungu baba , hata biblia inasema heshimuni mamlaka.
  2. M

    Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

    hivi hawa watu waliokuwa wanatoa maoni yao bado wapo kweli hum jamiii
  3. M

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    ukichunguza vizuri hawa wote waliokoment wengi wao utapata kwenye vyeti vyao vya elim ya secondary fffffff zimepanaga au dv 0 za kutosha , amini nakwambia
  4. M

    Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

    aliondoka kingunge muasisi wa uvccm itakuwa huyu mpuuzi mmoja
  5. M

    Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

    kwani mbona lowassa aliondoka na alikuwa zaidi ya huyu mwendawazim malaya nyalandu , tena alikuwa na marafiki ccm zaidi ya mara mia ya malaya nyalandu , coastal na tanzanair wanamjua kawamaliza sana pae.
  6. M

    Waziri Hussein Mwinyi: Ukuta wa Mererani ukamilike ndani ya miezi 6

    nasubiri kuoyona Tanzania ikiwa ya kwanza katika mauzo ya madini yake c india au kenya tena
  7. M

    Tukubali kutokubaliana na uteuzi wa Mnyeti

    ukishangaa ya mussa utayaona ya firauni...
  8. M

    Tukubali kutokubaliana na uteuzi wa Mnyeti

    umepewa mfano hai haiwezekani maamuzi magum tu yatoke kwa dk tano wakati mlizunguka nchi nzima kutuaminisha lowassa fisadi namba moja. toa boliti kwako before ya kibanzi cha kwa mwenzako.
  9. M

    Barrick to present a detailed proposal to Acacia by the first half of 2018

    MWANZO WALIDAI HAWANA PESA YA KULIPA KWANI MTAJI WAO TU HUFIKI HAPO IMEKUWAJE TENA WATAKA KULIPA....
  10. M

    Maandamano Tarime: Mkuu wa wilaya aingia aibu

    Ila kwa mbaali wanaonekana kama walijiindaaa maana mabango mareeeffffuuu wamenyonyaaaa ..Tena yanaonekana yametapakaaaa meneno kibao ....
  11. M

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Imekuwa shida na tabu sana sasa kwangu toka nikiwa single nilipiga na sasa niko na wife naye ananipa haswaaa ila nikimalizana naye tu baada ya two hours lazima nitake punyeto , ushauri please nini kifanyike.
  12. M

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    WADAU hebu nipeni mbinu gani gani ili niweze kuacha punyoto maana toka nikiwa single napiga hii kitu cha ajabu hadi sasa niko na wife hali ilele najitahidi kuacha ngoma imekuwa ngum , hebu nipeni mawzo nini kifanyike nisahau hili tendo.
Back
Top Bottom