Recent content by maganjwa

  1. maganjwa

    Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

    Polepole tutamkumbuka Kwa ushujaaa wake
  2. maganjwa

    CCM inaweza kuendelea kutawala?

    Kama Kuna wakati ccm imebanwa kutoka ndani ukiacha upinzani ni wakati huu. Mimi najiuliza kama wakiendelea namna hii na sioni kama wanaona hatari inakuja mbele yao. Je wakichukua Dola kama walivyokaza watatawala nchi ya aina Gani? Maana wamekataliwa kabisa na watanganyika na wanaforce kabisa...
  3. maganjwa

    PreGE2025 'No reform, no elections' ni sawa na kelele za chura kwenye maji ambazo hazimzuii mwenye kiu kunywa maji kwa uhuru, amani na uwazi

    M Maji yamevurugwa kiasi kwamba hayaliki kabisa alikuwa lisu Sasa hivi gwajima wanakuja wengine wengi tu
  4. maganjwa

    Tuliombe Jeshi la Polisi kuzuia mkutano huu wa TLS hapa Ubungo Plaza kuhusu watu waliopotea

    Yaani Kwa Nini mzuie huo mkutano kwanini mnapata taabu watanzania kupotea kwenu siyo tatizo
  5. maganjwa

    Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

    Huo ni mpango wa muda mrefu wa kuua familia. Keep away fadha then all children remain with woman after that come generation of no fadha and be like dogs 🐶 🐶 🐶
  6. maganjwa

    Zanzibar Imebinafsisha Uendeshaji wa Hospitali za Umma

    Mbona ngumu kuamini
  7. maganjwa

    PreGE2025 Polisi: Hatujazuia mikutano ya ndani wala ya hadhara, tumezuia mkusanyiko wa Viongozi wa CHADEMA

    Hivi Mkusanyiko maana yake ni tofauti na mkutano mbona sielewi
  8. maganjwa

    PreGE2025 CCM wanaandikisha wapiga kura wao je CHADEMA vipi?

    Hili ni jambo kubwa kama chama cha siasa hatua ya kwanza ni kuandaa daftari Yao ya wanachama vizuri. Leo nimeona wamefika shule sasa na kuanza kuandikisha wanafunzi kuingizwa kwenye daftari ya chama na kufanya maandalizi ya kuwapa kadi Yao ya electroniki. Sasa CHADEMA wanafanya nini kama chama...
  9. maganjwa

    Waliolazimisha watu kupewa chanjo ya Corona wakamatwe

    Hela za Bure nani hapendi
Back
Top Bottom