Hili ni bomba la maji lililosahaulika kutoka enzi za Zakhiem wakati wa ujenzi wa barabara. Liko maeneo ya Mkolani Nida.
Limekuwa kero maana maji yanatiririka muda wote na kutuama kama bwawa.Inasemekana mamlaka inataarifa na hili lakini haijachukua hatua ya kulifunga bomba hilo labda kwa sababu...
Siku hizi hakuna nyumba za walimu mashuleni bwn,usipotoshe umma.walimu wengi wana nyumba zao na wengine wamepanga.hili la kujiendeleza kielimu umeshauri vema
Mwanza kwa sasa tunahitaji mwendokasi.Kwa wanaoijua mwanza usafiri ni wa shida sana hasa asubuhi na jioni hasa siku za kazi.Subiri shule zifunguliwe uone kasheshe lake.Hizo hiace na coaster hata hazifai tena.Tufikiriwe na sisi jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.