Mm naamini wewe kama huna maslahi binafsi basi wewe unamatatizo ya upeo kufikiri,kwa hali ya nchi hii kukuta mtu mzima anaeweza kushughulisha akili yake hata 0.000000000001 ataelewa tatizo liko wapi na ni nani lakin kuja humu na mada za chadema na Dr.slaa hazisaidii kutatua matatizo sugu ya nchi...
Ukweli ni kwamba ccm imeshindwa kwa kiasi kikubwa kutatua matatizo ya wananchi na kujinufaisha wao pekee na uongo ni kutaka kuaminisha watu kuwa Dr.slaa ni tatizo nchi hii kwa sababu chadema hawajawahi kushika dola hata siku moja ila ccm wamepewa kwa mda mrefu wamevuruga na pia tukianza...
Hoja ya msingi tuliyonayo ni maisha magumu na yaliyochangiwa kwa kiasi kikubwa na ccm,hoja ya Dr.slaa kuchukua pesa,mara msaliti haijasababisha niishi maisha magumu.sion sababu ya kulizungumzia hilo
Mbona ccm mlizochota EPA bado hamjarudisha eti rais wenu anasema"wezi tumeishawabaini na wanaanza kurudisha"bila aibu leo mnashadadia mambo ya kitoto na kuyaona makubwa na kuyapa mantiki ilitusahau yetu wezi wa mabwepande nynyi!!
Mtu mzima kama wewe mwenye uwezo kamili wa kufikiri na mwenye kujua ccm ikoje na matajiri wanaitumia vip kunyonya damu ya masikini huwezi hata kidogo kuitetea na kumponda mtu kama Dr.slaa,kukopa ni kawaida na mkopo wenyewe kaisharudisha mbona husemi kuhusu mafisadi wa sisiem wanaiba kila...
Kwa mda mrefu nimekuwa nikishuhudia wajumbe wa nyumba kumi wakifanya kazi za serikali kama vile waajilwa serikalini au wamechaguliwa na wananchi.naomba kuelewa kama hili swala ni sahihi kisheria!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.