Toka tuko baruti na ulipo jaribu harakati cuf na ukakoswa mafisadi wa kukufika bei akili yako ikawa ya ajabu ajabu. Kwa akili ya kawaida pole pole ndo wakuzuia mabadiliko yanayokuja?
Hakuna mgogoro wowote katika tawi, kata na wilaya yote ya musoma mjini ndani ya chadema. Ila kuna semina za ujenzi wa chama katika matawi yote 76 ya musoma mjini. Chadema tunajiaandaa kuongoza manispaa na jimbo. Ila mgogoro ulipo ni kwa ccm na wananchi walio ikataa ccm. Na mwenyekiti na katibu...
NCHI YANGU TZ
Viroba vya muhongo na mathayo vinaweza kuua watu wetu wote. Ili uchaguzi wa wilaya ufanyike ni lazima kata zote zifanye uchaguzi. Sasa Iringo watafanyaje uchaguzi wakati chaguzi za kata zilisha fanyika? Nenda kwa aliye kutuma mwambie kakuchanganya
Mambo Mengi yanayo tokea hasa ya ubadhilifu hatumsikii huyu MZEE.inapofika nafasi ya Urais ndo ajitokeze kutushauri? Hawezi aminika huyu naye ni gamba kama yalivyo magamba menzake.
Kimya humsaidia MTU kutokujulikana kiasi cha ujinga alicho nacho.naamini kama kunakitu ulicho amua kuandika bila hata kushirikisha kiasi kidogo cha akili ulicho nacho nihiki.
Nyerere anaingiaje katika matokeo hayo?huwezi kubeza kazi za Mbunge Wa musoma za ujenzi Wa chama.maana mwaka 2009 Chadema walipata mitaa miwili Leo Chadema imepata mitaa 30.wakati huo Chadema musoma mjini ilimwomba aende vijijini ambapo kampeni hizo za vijijini hadi hivi sasa Chadema imepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.