Nurse mwenye cheti cha addo
Duka lipo mwanza usagara
Nakulipia chumba miez 2, nakupa pesa ya kula 2000 kila siku salary 120,000. Alietayari nicheki kwa namba 0689636330
Nurse mwenye cheti cha addo
Duka lipo mwanza usagara
Nakulipia chumba miez 2, nakupa pesa ya kula 2000 kila siku salary 120,000. Alietayari nicheki kwa namba 0689636330
Awe na umri chini ya miaka 23
Awe analala hapa hapa nyumbani
Nyumba ipo dar na hakuna kazi nying zaid ya kupika na kufanya usafi
Asiwe mapepe
Anaehitaji tuwasiliane kwa namba 0658 047 048
Ukikuta mtu anatoa dawa ivyo bas hajasomea, ndo maana tunahakikisha wanafunzi wetu tunawapa elimu ya kutosha ya theory na practical ili waweze kusaidia wananchi vizuri. Na pia tunawafundisha law and ethics hii itamfanya awe makini wakat wa kutoa huduma na kua mwepes kuomba msaada wa kiutalamu...
Kila chuo kina utaratibu wake kulingana na muda kiliojiwekea wa kuanza masomo, kumbuka kua unaomba direct chuon sio nacte. Pili jiulize kwenye chuo ambapo wanapokea intake au batch mbili ya mwezi wa 8 na mwezi wa 3 inakuaje? Jibu ni kwamba ni ratiba ya chuo binafsi kulingana na kilivojipanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.