Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,704
- 2,363
Please naitaji room, iwe nzuri & mazingira mazuri..... mwenye nayo please... naomba unipe namba zako nikutafute haraka .... nipo online 247
Contacts.?chumba kipo maeneo ya st john
Vyovyote sawa tu... chumba au nyumbaUnataka chumba kimoja tu a.k.a store au
Laki moja kwa vitu vyote hvo,hapo hata punda hawezi fika sio gari tu....yani hapo ni porini mlimani kabisa...Vyumba viwili na sebule choo ndan na jiko kama ikiwezekana kwa laki moja. Isiwe mbali na mjini na pia gari iwe inafika kirahis 0658047048
Chumba self 80 kwa miez mitatu kipo mitaa ya stjohn kikuyu nyumba ina fensi nichek@0656 548919Please naitaji room, iwe nzuri & mazingira mazuri..... mwenye nayo please... naomba unipe namba zako nikutafute haraka .... nipo online 247
Vyumba viwili na sebule vipi Mkuu?Chumba self 80 kwa miez mitatu kipo mitaa ya stjohn kikuyu nyumba ina fensi nichek@0656 548919