wapotezee. hakuna maisha mengine, yaani hapo ndo unaishi na usiruhusu hasira na maumivu vitawale maisha yako. Raha jipe mwenyewe. wapotezee ila usiache kumheshimu mumeo.
Usiwape attention kwa kila wanalofanya. wao hayo wanayofanya yanawapa raha, na wewe kila unapoamka fanya ratiba zako zote...
wapotezee. hakuna maisha mengine, yaani hapo ndo unaishi na usiruhusu hasira na maumivu vitawale maisha yako. Raha jipe mwenyewe. wapotezee ila usiache kumheshimu mumeo.
Usiwape attention kwa kila wanalofanya. wao hayo wanayofanya yanawapa raha, na wewe kila unapoamka fanya ratiba zako zote...
Sina kawaida ya kupekenyua simu ya baba watoto. Siku hiyo niliomba tu memorycard, nae bila hiyana akanipa aliyo itumia kama miezi miwili iliyopita.
Kumbe kuna picha alitunza akasahau kufuta. Picha za katoto kachanga na mama yake. Sikupanic, nilikuwa namuamini saanaaa. Nilikaa kimya nikaanza...
Hata kiswahili kinatumika. Kikristo nimetumia zaman sana kimeanza kupotea.
Japo mi ni ke nipo hapa kwa niaba ya mume wangu. Anapitia wakati mgumu sana kwa sasa. Naumia sana ila naamini hili nalo litapita.
Nalea mtoto wa mume wangu, ni mdogo kuliko mwanangu. Simtesi wala simnyanyasi ila namlea kwa uangalifu sana. Najua akilia kidogo tu watu watasema namtesa.
Hata wakikosea wote namchapa wangu tu kwa kisingizio kwamba yeye ni mkubwa. Wamepishana mwaka mmoja.
Huwa najisikia vibaya sababu najua...
Mbona na hao wasio na watoto nao hamuwaoi? Wanazeeka wakitafuta waume.
Mnawaponda single mothers kila kukicha na wanaolewa kila kukicha. Tafuta unayemmudu usiyemmudu achana nae na usimjadili. Size yako ipo.
Kwa hyo mmeligundua hilo mnasemaje sasa. Humu kuna wengine ni watoto wa kiume, wengine ni akina baba.
Mada nyingi jukwaa hili ni kuwatukana wanawake na kuwasema vibaya. Na asilimia kubwa ya watoto wanaowatenga baba zao ni wakiume.
Watoto wanaona unayoyafanya kwa mama yao, hata kama unawapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.