Recent content by Mafyale

  1. M

    Hivi ndivyo Adolph Kimbindu Kumburu anavyowamaliza wakulima wa zao la kahawa Tanzania

    HIVI NDIVYO ADOLPH KIMBINDU KUMBURU ANAVYOWAMALIZA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA TANZANIA NA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA (MoD) Niliwahi kusema siku za nyuma kwamba English sorry Engineer Kumburu hana uzalendo wowote na hii zaidi ya kutekeleza sera za kibwanyenye zinazowatukuza wafadhili...
  2. M

    DG WA Tanzania Coffee Board Adolph Kumburu nani kampa kibali cha kuhack simu na email za watu??

    @ Mzee . Hi ndio kazi aliyoajiriwa nayo ? Acha kuwa na akili ndogo panua akili yako
  3. M

    DG WA Tanzania Coffee Board Adolph Kumburu nani kampa kibali cha kuhack simu na email za watu??

    DG WA Tanzania Coffee Board Adolph Kumburu nani kampa kibali cha kuharck simu na email za watu? Katika hali isiyokuwa ya kawaida wadau naomba kuuliza hivi huyu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Adolph Kumburu ni nani aliyempa kibali cha kudukua (Hacking) Email za wafanyakazi pamoja na kurecord...
  4. M

    Ufisadi wa kutisha bodi ya kahawa – waziri wa kilimo na mkurugenzi mkuu bodi ya kahawa wahusika waku

    Kweli imetusikitisha sana hasa sisi wakulima wadogo huku wilani Mbinga.kUUMIA TUUMIE SISI SHAMBANI WENGINE WALE HELA YETU hii sio sawa.Kwa hili tunatayarisha mauzo yetu yote na tunajipanga kwenda kumwona Mh Raisi atusaidie kurudisha fedha yetu na tumeambiwa kuwa hata Account sale tulizo nazo ni...
Back
Top Bottom