Kwa mujibu wa kiongozi wako wa Baraza la Wazazi wa CCm Taifa ni kwamba Lowassa na Membe wanalingana umri...
Sina hakika lakini kwa mantiki hiyo inawezekana hata JK anamzidi Lowasa umri, sasa katika kipidi ulichotaja nani alikuwa kijana kama huyo mwenyekiti wa wazazi alikuwa hadanganyi?
Halafu MaCCM yalivyo na akili fupi sana yanamwona JK mjanja sana...
Wakati Magufuli aliwekwa kama reserve ishu ikibumbuluka iwe ilivyokuwa...
Lakini wote alioingia na majina yao mfukoni mwake ni misukule yake...
Ila kwa kuwa MiCCM ndivyo ilivyo inamwona jamaa bonge la mjanja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.