Wanathread wenzenu naulizia kinondoni majina yanatoka lini
Usije Kuta tushaachwa hivyo kimya kimya[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Mwenye info kamili atupie Hapa please
Asanteeeeeee
Mwenye list ya majina ya waliochaguliwa Kwa ajili ya zoezi linaloenda kuanza jumanne Machi 1 Kwa wilaya ya KINONDONI ashee Hapa ili tujuane mapemaaaaa
Karibuni
JAMANI WALE WA KINONDONI TUPO
KUNA JIPYA LOLOTE MPAKA SASA?? MAANA UBUNGO NA TEMEKE KUMESHANOGA TAYARI
TUMEBAKIA SISI TU
TUJUANE JAMANI[emoji847][emoji847][emoji847]
Jamani Ina Maana hakuna mwenye Taarifa kuhusiana na kinondoni
Maana jumatatu Leo ukute majina yashabandikwa kwenye ofisi za kata
Anyone mwenye new news???[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Habari wapendwa
Naulizia kwa manispaa ya KINONDONI ambaye anajua tarehe ya majina ya waliochaguliwa kufanya zoezi la UKUSANYAJI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKADI ni lini??
Naulizia hivyo maana kwa manispaa ya ubungo majina yametoka Leo na wameshafanya usaili (interview) kwa njia ya mtandao Yani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.