Habari wapendwa
Naulizia kwa manispaa ya KINONDONI ambaye anajua tarehe ya majina ya waliochaguliwa kufanya zoezi la UKUSANYAJI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKADI ni lini??
Naulizia hivyo maana kwa manispaa ya ubungo majina yametoka Leo na wameshafanya usaili (interview) kwa njia ya mtandao Yani online registration form na wame submit tayari.
Mtujuze mnaofahamu na pia kwa anayefahamu tarehe halisi zoezi hili linaenda kuanza Kwa wilaya zote za DSM pia atujulishe
Na kama Kuna training (mafunzo) kabla ya zoezi hili pia tujue na tarehe ya training
Asanteeeeeee
Nimembatanisha na PDF ya majina ya waliochaguliwa Kwa wilaya ya Ubungo.
Naulizia kwa manispaa ya KINONDONI ambaye anajua tarehe ya majina ya waliochaguliwa kufanya zoezi la UKUSANYAJI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKADI ni lini??
Naulizia hivyo maana kwa manispaa ya ubungo majina yametoka Leo na wameshafanya usaili (interview) kwa njia ya mtandao Yani online registration form na wame submit tayari.
Mtujuze mnaofahamu na pia kwa anayefahamu tarehe halisi zoezi hili linaenda kuanza Kwa wilaya zote za DSM pia atujulishe
Na kama Kuna training (mafunzo) kabla ya zoezi hili pia tujue na tarehe ya training
Asanteeeeeee
Nimembatanisha na PDF ya majina ya waliochaguliwa Kwa wilaya ya Ubungo.