Recent content by mafioso

  1. mafioso

    Graphic Design Mega Offer!

    Niko Dar Es Salaam, but teknolojia inaniruhusu kufanya biashara na mtu aliyeko popote kwenye uso wa dunia. Karibu sana ndugu.
  2. mafioso

    Graphic Design Mega Offer!

    Laki moja tu pesa ya kitanzania.
  3. mafioso

    Graphic Design Mega Offer!

    Nashukuru mkuu. Karibu tuyajenge.
  4. mafioso

    Graphic Design Mega Offer!

    Hizi ni baadhi tu ya kazi zangu nilizofanya, ziko nyingi sana. Nyingine kama nilivyosema zinapatikana kwenye ukurasa wangu wa Facebook kwa jina la Purple Dots (Purple Dots).
  5. mafioso

    Graphic Design Mega Offer!

    Ndugu wajasiriamali, habari zenu? Nakuja mbele yenu leo kutangaza offer maalum kwa wajasiriamali mmoja mmoja. Mimi ni Graphic Designer ambaye nina uzoefu wa kutosha kwa kazi za designing katika ubora wa hali ya juu sana. Napenda kuwatangazia offer maalum ya nusu bei kwa kipindi cha mwezi...
  6. mafioso

    Nahitaji msaada wa wazo la biashara

    - Level ya Chuo Kikuu (1st degree) - Experience ya kazi ya miaka 6
  7. mafioso

    Nahitaji msaada wa wazo la biashara

    Wadau, salama? Nakuja mbele zenu leo kuomba msaada wa mawazo juu ya mambo ya biashara. Mm sina uzoefu wa biashara, nimesomea IT, nimeajiriwa mwaka wa tano sasa, lakini nimekuja kugundua kipato changu kiko hali mbaya sababu ya mshahara finyu wa ajira, pesa nayopata ni ya kula na kodi tu ya...
  8. mafioso

    Wahi Ofa: Logo, Business Cards na Letterhead kwa bei chee

    Unataka kufanya biashara kisasa? Unataka kuwa na nembo (logo) ya kukutambulisha kibiashara kama biashara zingine zenye mafanikio? Wasiliana nasi kwa ajili ya kutengenezewa Logo, Business Card na Letterhead kwa ajili ya biashara yako ili vikusaidie kukupa utambulisho (Corporate Identity) na...
  9. mafioso

    Rostam Aziz bilionea no. 1 Tanzania

    Siyo Forber ni Forbes.
  10. mafioso

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    Wananchi, nawaungaje bila namba zenu?
  11. mafioso

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    Hii namba yako haina Whatsapp ndugu.
  12. mafioso

    Nawakaribisha kuunda secret society kama Freemasons

    Nimekupata mkuu mshinyanga na nimeshawadd. Naona umesahau kunipm namba yako.
Back
Top Bottom