Recent content by Mafinga_boy

  1. M

    Technically, huwezi shindana na serikali, never

    Tunavyoendeleza amani tuliyonayo tusisahau kupata HAKI zetu
  2. M

    Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma jiuzulu ili kulinda heshima ya mhimili wa Mahakama

    Unauhakika mihimili yetu baba wa familia ndio mlezi au mlezi wa familia anatokea nje ya familia NB: mtaa kugumu kuwa jobles tena 😄😄
  3. M

    Ni sahihi kwa vyombo vya dola kuingia kuyapekua maisha na mapato ya Juma Jux

    Jaribu wewe hizo mbishe za Jux uwe mfano kwa wengine
  4. M

    Kwasababu hizi nimeamua kupambana mwezi huu nioe

    25! Endelea kujitafuta japo kupanga ni kuchagua
  5. M

    Chadema inahujumiwa na vijana wanaowalea na kuwachekea; Fukuzeni hao watu kwenye chama

    Wataje bro! Binafsi yangu waliowengi team hai wanao msuso fulani hivi 😄😄
  6. M

    Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

    Hatuna kwa kwenda zaidi ya huku.. Tunalala na kushinda barazani
  7. M

    Vikundi 111 vyanufaika mkopo wa asilimia 10 wenye thamani ya Shilingi milioni 362

    Ni pesa ndogo kwa vikundi 111 ni kama 3ml🤔.Nirudi kwa wahenga asiyeshukuru kwa kidogo hata akipewa kikubwa hawezi kushukuru. Wakafika mbali na kusema ndo ndo ndoo si chururu😁😁 Mi5 tena Halimashauri
Back
Top Bottom