Mara nyingi viongozi wetu huimba wimbo wa amani kana kwamba ni mali ya kila mmoja wetu. Lakini ukweli mchungu ni kwamba amani hiyo ipo kwao tu—sisi wananchi wa kawaida hatuioni wala kuifaidi.
Ni sisi tunaotekwa.
Ni sisi tunabambikiziwa kesi.
Ni sisi tunadhurumiwa.
Ni sisi tunaotukanwa na...
samahani mkuu uliemfollow ni mimi sio hao nitajitahidi kupungaza ku-post picha za uchi nilijua unazipenda maana ulikuwa una like na ku-comment kila post na kuna moja uliomba nikutumie akiwa hajavaa chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.