Kwani Waislamu wakianzisha mahakama zao na kuziendesha wenyewe wanapungukiwa nini, mbona wakristu wana mahakama zao na wanaziendesha wenyewe na hawapigi kelele. Je na wao waanze kudai iwekwe kwenye katiba? na wapagani nao? Tutakuwa na mahakama ngapi? Sasa sheria ya ugaidi ikifutwa halafu...
Hii mbaya sana, sio utamaduni wa sisi Watanzania. Dhambi hii ya mauaji haya itawarudia na hawatakaa watulie! Nawaombea wauaji wajute kosa lao na watubu, ama sivyo laana ya Mungu atatua hapo Igunga na itakuwa inanuka damu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.