Ujerumani wanaifadhili Tanzania kifedha kwenye maswala ya uhifadhi na maendeleo ya viumbe hai kwenye mbuga na hifadhi kadhaa nchini.
Nadhani ni kupitia lile shirika lao la frankfut (WWF) kama sijakosea!
wanatoa kiasi kizuri tu cha fedha. sasa hiyo ndiyo sababu wanapinga uharibifu wa ecosystem...
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameandika waraka mzito akimponda Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye kwa sasa yupo ziarani barani Ulaya baada ya kupata nafuu kufuatia shambulizi la kupigwa risasi alilofanyiwa Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Dodoma.
Makonda ameandika...
Hapana cariha. siyo hivyo kwa wanawake wote. Nimeshawahi kuwaona baadhi wanapenda sana kuangaliwa makalio yao yanavyotikisika tena wengine huongeza manjonjo.
honestly huyo mbinafsi achana naye. maana tabia zake umezifahamu kiundani. ila hao married men kama kweli wamekukonga nyonyo namna hiyo chagua mmoja.
japo wake zao hawatapenda kabisa kusikia wana wanawake nje hata ingekuwa wewe ingekjtatiza but thats the way.
it will be safe for you maana hujui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.