Ukiona hivyo ujue kuwa you are very focused in your life so automatically unakuwa na wasichana au wanawake wasioumiza kichwa wanawake wengi wanaodate younger men huwa hawaumizi kichwa kiongozi.
I think unaweza hapo mitaa ya Kariakoo lakini kama ungeongeza price kidogo kama 100-150k ungepata nzuri zaidi ubaya wa hizi mashine hizi,ukipata ya bei kubwa ndo inakuwa na maintanance cost ndogo ukilinganisha na hizi za bei ndogo mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.