Recent content by Madukwaa

  1. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Mto Mwame wafunga barabara

    Tatizo ni mwalimu wangu wa Kiswahili
  2. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Mto Mwame wafunga barabara

    Mto MWAME unaopatikana wilaya ya misungwi ukiunganisha kata ya misasi na mwanangwa umejaa maji kwa takribani wiki moja sasa na kupelekea mabasi madogo ya abiri (mini bus) na magari mengine yanayotoka salawe Shinyanga na maeneo mengine kushindwa kupita kwenda Mwanza vinginevyo wanalazimika...
  3. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Nyama ya kenge

    Kenge, nyoka NK vyafaa kuliwa maana vyote ni jamii ya samaki
  4. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Dullah Mbabe apoteza kwa pointi dhidi ya Eric Katompa, Arusha, Novemba 25, 2023, Dullah alalamikia Majaji

    Mwenyewe bado natafakari bila majibu!!
  5. Madukwaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Upi umri sahihi wa kuzidiana kati ya mume na mke?

    Ulijuaje kuwa ni BIKRA au ndiyo mlishafunga ndoa kabla ya ndoa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  6. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Bible na Quran zinasema kutakuwepo na mwisho wa Dunia

    Kabla hatujaendelea nataka kujua, wewe ni mpalestina au muisraeli
  7. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Wabongo acheni kukariri maisha

    10% ni lazima kutoa wala siyo ombi kama michango ya kanisa n.k Pia zaka hapewi mtu kama mhitaji n.k
  8. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya kumvua Uwakili Boniface Mwabukusi kuanza leo, Jopo lake la Utetezi linatisha

    Binafsi nikikaa kutafakari yanayoendelea nchini nakosa majibu.. Au kwa kuwa tulishatahadhalishwa kuwa, tukiona mambo hayako sawa tuhamie Burundi..
  9. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

    Hadi uchaguliwe kuwa Papa unapaswa kuwa na vigezo vipi?.
  10. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya mikoani yanayotembea usiku yawekewe Askari kipindi hiki cha sikukuu

    Siyo mabasi yote, yale tu yanayotembea usiku, Mfn: kuna mabasi yanatoka stand saa 1 jioni pia saa 3 usiku. Dar tu mza Arusha tu mza n. k
  11. Madukwaa

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya mikoani yanayotembea usiku yawekewe Askari kipindi hiki cha sikukuu

    Napenda kulishauri Jeshi la Polisi/Usalama barabarani, tunapoelekea katika msimu wa sikukuu kwa mabasi ya mikoani hasa yanayotembea usiku kuwekewa ulinzi wa maaskari ndani ya mabasi. Hii ni kwaajili ya usalama wa abiria hasa wanaosafiri usiku.
Back
Top Bottom