Mto MWAME unaopatikana wilaya ya misungwi ukiunganisha kata ya misasi na mwanangwa umejaa maji kwa takribani wiki moja sasa na kupelekea mabasi madogo ya abiri (mini bus) na magari mengine yanayotoka salawe Shinyanga na maeneo mengine kushindwa kupita kwenda Mwanza vinginevyo wanalazimika...
Napenda kulishauri Jeshi la Polisi/Usalama barabarani, tunapoelekea katika msimu wa sikukuu kwa mabasi ya mikoani hasa yanayotembea usiku kuwekewa ulinzi wa maaskari ndani ya mabasi.
Hii ni kwaajili ya usalama wa abiria hasa wanaosafiri usiku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.