punguza matumiz yasiyo ya muhimu..acha kubet punguza idadi ya wanawake(naamini we ni me) punguza mitoko ya ghafla,jifunze kusema NO Sometimes ndugu na marafiki wanafelisha..panga bajeti ya vitu vyote vya muhimu kwa mwezi na hakikisha unaisimamia.
matumiz ya kijinga ni mengi sana ndo mana unakuta watu wanaokunywa pombe na wasiokunywa pombe maisha yao yapo sawa au anaekunywa ana maendeleo zaidi..ndugu na marafiki mizinga mingi na wakikopa hawalipi kupenda kuvaa na madem sana(kuonga) na outing za mara kwa mara,kubeti,kula vizuri hasa kwenye...
alikuwa anajua kuwa hyo dawa ingemdhuru..lakini alikuwa hawezi kuongea alionesha kukataa lakini hakuna mtu aliyeelewa..kama wataalam wa afya ilibidi wawe na tahadhari juu ya wagonjwa ambao dawa flani huwadhuru
sina uhakika hyo chemical inaitwaje ambayo ni mojawapo ktk mchanganyiko mzima wa chemical zote za hyo drip..point yangu ni kuwa marehem alikufa kutokana na uzembe..mambo ya chemical inaitwaje siwez jua mana sijasomea na nimesahau...kuna watu wengi tu utasikia anachagua dawa kwa sababu nyingine...
kuna mamdogo wangu mmoja alipelekwa hospital akiwa na ugonjwa mdogo tu lakini alifariki kwa sbabu aliwekewa drip yenye chemical ambayo kwa baadh ya watu huwadhuru(sijui inaitwa cafein..sina uhakika ila baadhi ya watu huwa inawadhuru hata baadh ya vidonge hawatumii kwa sbabu vina hyo chemical)...
mimi naamini ipo siku nitafanikiwa kutokana na vile ninavyo-define neno mafanikio lakini sio kumshinda fulani na fulani ktk utajiri...kwangu mimi mafanikio ni kuwa na familia iliyo na furaha..nikiweza kumuda mahitaj ya familia yangu yote bila hofu yoyote..na furaha ikatawala basi hapo mimi...
hospitali nyingi za serikali huduma zake ni mbovu,,baadhi ya manesi na madaktari(hasa wa kike) huwa ni rahisi sana kuzenguana nao sijui wanakuwaga na matatizo gani? sijui hawalipwi mshahara? sijui wanaona kazi wanazofanya ni ngumu sana?,sasa kwann walisomea? au ndo njaa za ukosefu wa ajira...
kabisa!! mbwa ukishampa kisogo na ukimkimbia umempa confidence,hasira na chance ya kukuuma..ishu ni kurusha mateke..lazima arudi nyuma.. okota au vunja fimbo kama ipo karibu au okota mawe,wengi hata ukichota mchanga wanaogopa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.