Swala ambalo sitakuja kujaribu nibkujitolea kwenye ofisi ya mtu. Siwezi kujitoa sadaka nimetumia gharama nyingi mno kwenye masomo yangu alafu leo nikafanyie mtu kazi bure BIG NO!
Sasa jamaa unaona kabisa apo vyeti vyako havipo certified umeandika barua na bado haujasign na wanakutelekeza kabisa na problem yako uliyokuwa nayo sasa huelewi nini..??
Kuhusu mujibu kwa kweli am not so sure ila coz wamesema wanataka wenye vyet vya jkt na kile cheti cha mujibu pia nacho ni cha jkt me naona unaweza ukajaribu kwa iko cheti u never know maana hata wenyew ukisoma tangazo lao vizuri wamegeneralize tuu hawajaspecify kama ni mujibu au volunteer
Sent...
Amepita nani bhna tusianze kudanganyana apa ushaambiwa cheti cha jkt ni lazima uwe nacho alaf mtu ashasema hana unamwambia aapply acheni matumiz mabaya ya muda unless kama una mbuyu utakao kubeba sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu mna kauli za ovyo sana kama umeshindwa kumsaidia haina haja ya kutoa maneno yote haya, dada wa watu kajielezea vizuri bila tatizo lolote sasa mtu from no where unakuja na kauli za hivi NONSENSE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.