Recent content by madevuu

  1. madevuu

    Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

    True..nimechelewa pia ila hajajua maisha ya kibongo yalivyo..hamna wa kujitoa mihanga wala ufahamu apa bongo land..tumbo na family ndo priority one.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. madevuu

    Sasa ni rasmi: Serikali Imeishiwa

    Mzungu alitupeleka mahakamani kisa deni la nyuma kabla ya jpm na watz waka comment dawa ya deni kulipa..kwann tumaowadai wasilipe?sheria ya kodi ipo tangu enzi za kale..kama hukulipa its on you not the government.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. madevuu

    Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

    Kwaiyo wanataka kutunyima kushiriki bounty ya kichwa cha trump Sent using Jamii Forums mobile app
  4. madevuu

    Soko kuu la dhahabu lazinduliwa Chato, Waziri Biteko atoa maagizo

    Iwe chato,ambayo ni geita au mwanza au dar au popote ni sawa tu..cha msingi mapato yafanye kazi kwa nchi nzima..wengine hatujari materials zipo wapi tunajari actions/matokeo..plus iyo itasaidia kanda za pendezoni kama vile kagera mwanza kigoma shinyanga..katika ukuaji uchumi pia maana biashara...
  5. madevuu

    Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

    Miundombinu ni priority namba moja kwa ajili ha maendeleo ya nchi..ndo maana kila infrastructure ina mirafi yake binafsi..huwezi kuta mradi mmoja hapana miradi ipo tofauti ili kukuza miundombinu na maendelel ya taifa na watu binafsi..tusiwe wapumbavu mda mwingine kusema "maji maji" wakati miradi...
Back
Top Bottom