Recent content by madawa makulu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Watu hawamjui vizuri Kikwete

    Napenda nikujulishe kuwa, kikwete ametumia mbinu za mwana farusafa ayanyeitwa Mackiaveli, ambaye anasema kuwa tumia mbinu yoyote ile hata kama ni kuua katika kupata madaraka, na ukisha pata madaraka, tekeleza mipango yako bila kujali ni nani alikusaidia kufika hapo ulipo. Lowassa aende akasome...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

    Usiwe mtu wa kuropoka Alishakwambia toka day one kuwa yeye ni mtu wa chama, hivyo ilani ya chama ndimo kuna vipaumble vya chama na si vya magufuri. Vipi ukawa babu ana vipaumbele vyake au vya cdm?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu aliyepata kuwa Waziri Mkuu ni vigumu kuwa rais wa Tanzania?

    Kwa kifupi, baadhi ya majibu ya swali ulishayatoa wewe mwenyewe, likiwemo la utendaji mbovu(zero), kushindwa kuchukua maamzi(mtoto wa mkulima), ukosefu wa maadili (edo),historia(salim), uchu wa madaraka (edo,malecela), ukanda (walioba). Kweli kwaumri ke pinda,na afya yake edo washau bkabia
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu aliyepata kuwa Waziri Mkuu ni vigumu kuwa rais wa Tanzania?

    Kwa kifupi, baadhi ya majibu ya swali ulishayatoa wewe mwenyewe, likiwemo la utendaji mbovu(zero), kushindwa kuchukua maamzi(mtoto wa mkulima), ukosefu wa maadili (edo),historia(salim), uchu wa madaraka (edo,malecela), ukanda (walioba)
  5. M

    JamiiForums Tanzania Chenge and Co Wafurahishwa na Ahadi (kiapo) cha Magufuli

    Huu ni uzushi mtupu. Nakwambia Tz hatutaki siasa za visasi na chuki. Hao mafisadi watashughulikiwa na vyombo husika na siyo rais, rais hawezi kusema mtu furahi apelekwe jele. Ni vyombo husika ndivyo vyema mamlaka. Tunataka utawa bora na unaofuata sheria na haki za binadamu. Kwahiyo fikra zako...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Sakata la nauli za vivuko: Magufuli asema asiye na nauli Sh. 200 apige mbizi

    Team lowassa na Ukawa, mtasema mengi sana juu ya jembe Magufuri, ila niwambie kuwa watz tumekuwa kama watoto ambao wanadanganywa kwa pipi, kitu ambacho kinatakiwa kikome. Ukweli lazima utawale mtake msitake. Magufuri si mtu wa kutaka kuwafurahisha watu ambao wanajua kitu hicho hakiwezekani...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya jina lake kukatwa, haya ndiyo yanayomsumbua Edward Lowasa mpaka anashindwa kula

    Kilichomkuta Lowasa ni mzimu wa Nyerere, na utaendelea kumuandama hadi atakapokwenata kurest in peace. Angekuwa mtu wa kufikiri asingejihusisha na siasa tena tangu pale alipopatwa na jinamizl Richmond. Great father of nation for punishing this fisadi. Reast in peace, JKN
  8. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa kusababisha ukosefu mkubwa wa ajira kuanzia Julai 2015

    Lizaboni Hao wote uliowataja hapo juu wanaotegemea fedha za fisadi wataugua kama wale waliokuwa wanamsabikia Maalim seif mwaka 1995 na kudiriki kutoa fedha zao nyingi hasa wafanya biashara wa kipemba kwa ahadi kuwa akiingia ikulu ya zbr atawarudishia fedha zao. Nakwambia baada ya mambo kwenda...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa: Hatutarudia makosa kusubiri mgombea kutoka CCM

    wewe unayelilia kujiandikisha ili upige kura unajiona una haki sana kuliko mwinzio anayetaka kupigiwa kura ya kuwa rais. ach ubunafsi, wacha demokrasia itendeke ndani ya chama kubwa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Absalom Kibanda: Mgombea Urais mmoja hakutaka nifike huu mwaka wa Uchaguzi

    Kweli ni EL kwani alikuwa anajua kuwa membe atagombea urais hivyo alitaka kumchafulia ili abaki peke yake. Lakini mungu hamfichi mnafiki na sasa anaumwa na kuna wagombea lukuki ambao wana sifa kuliko yeye. Pole fisadi muuaji wana siasa ambao ni kikwazo kwako
  11. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Magufuli arudisha fomu za udhamini kugombea urais mjini Dodoma

    Wewe ndiyo hamunazo, kwani NEC haitamchagua mtu kwa sera zake, ila kwa vigezo vilivyowekwa. Huyu ni mtu atainyoosha Tz na Watz wanaolialia kutaka maendeleo bila kufanya kazi na kutofua sheria za nchi. Kila la heri Dr.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Falsafa za mwl. J K Nyerere-Jinsi zinavomwangamiza lowasa

    Kwa vyovyote utakavyompima, Lowass hafai kuwa rais. Mtu mgonjwa utendaji utatoka wapi? Kuhusu integrity ni zero.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ni yepi "Maamuzi Magumu" aliyowahi kuyachukua Lowassa?

    Kweli akiona mradi haumunufaishi anavunja mkataba, mbona hajavunja mkataba wa jengo la umoja wa vijana ambapo Nape alimweleza kuwa amempa tenda mtu asiyestahili. Huyu ni fisadi nguli.Wabongo fungukeni macho na masikio
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Dr. Slaa dhidi ya CCM yaanza kudhihirika wazi?

    Kweli ukawa wana upeo mdogo sana. Wanashangaa maafisa wa usalama kugombea nafasi za kisiasa kama vile wao hawatakiwa kufanya hivyo. Kwa taarifa yako Marekani hawampi mtu urais kama siyo shushushu au mjeda. obama, Putin, Bushi, na wengine ni watu wa usalama. Hawa ndio wanaijua nchi na wanajua...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mangula ataja vigezo 13 vya urais: Kama huna pisha wengine

    Kwa jinsi nchi yetu ilivyo kwa sasa, mtu mwenye sifa namba 7 ndiyo anayetakiwa, kwani atatuletea maendeleo tunayohitaji watz, kinyume na hapo tusitarajie chochote. Muhongo can be the best candidate
Back
Top Bottom