Nilikuwa na shaidi ila mtendaji na Mwenyekiti hawajaingizwa kwenye kesi nilimuliza mpelelezi wa kesi Yangu police anasema anawatumia kama mashaidi wa upande watuhumiwa kwakuwa waliandika majina sio yao
Nilinunua shamba mwaka 2014 tuliandikishana ofisi ya kijiji mbele ya mtendaji na Mwenyekiti was kijiji Mwanambaya mkuranga ila mwaka huu naambiwa shamba sio langu na yule alieniuzia kwenda ofisi ya kijiji nakutana na Mwenyekiti akatukutanisha na muhusika Ila akaniambia aniandikie karatasi...
Asante ni ivi Nina ndugu yangu ameachishwa Kazi bila kosa ila kwenye barua ya kuachishwa Kazi ameambiwa kuwa ameshawishi na kushiriki mgomo siku ya tar 21 na wakati siku iyo yeye aliingia night na alifanya Kazi akatoka asubuhi pia akaingia siku iyo iyo jioni akatoka kesho yake. Ilipofika tar 4...
Asante ni ivi Nina ndugu yangu ameachishwa Kazi bila kosa ila kwenye barua ya kuachishwa Kazi ameambiwa kuwa ameshawishi na kushiriki mgomo siku ya tar 21 na wakati siku iyo yeye aliingia night na alifanya Kazi akatoka asubuhi pia akaingia siku iyo iyo jioni akatoka kesho yake. Ilipofika tar 4...
Naombeni msaada wa kisheria ndugu yyangu ameachishwa Kazi kwa kosa lisiloeleweka a me hang any I kids afanyeje? Nilikuwa ni ivi wafanyakazi waligoma siku ya tar 21 murch ila yeye aliingia night akatoka asubuhi na akaingia jioni akatoka kesho yake anashangaa anapewa barua ya kikao cha nidhamu...
Shikamoo naomba unisaidie
mwanangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi 3 huwa anakohoa mara kwa mara toka akiwa na miezi 6 akikaa sana anakaa mwezi, ukohoa sana usiku au karibia na asubuhi nimeshampeleka hospitali kila mara ubadilishiwa dawa mpaka naona namuumiza na dawa, toka aanze kusumbuliwa...
swali langu ninaweza kushonwa kama nilivyoshonwa baada ya kujifungua? na nitaweza kurudi hali yangu kama ya zamani wakati sijajifungua?
maana wananiogopesha kuwa naenda kufanyiwa oparesheni
NESI ALIENIANGALIA ANASEMA SIJASHONWA VIZURI KWA NDANI NA NJE
Nimejifungua kwa njia ya kawaida na niliongezewa njia mtoto wa kwanza.
je ni tatizo kubwa sana la kupelekwa thieter na kupigwa nusu kaputi?, maana naogopa sana je hawatanishona kama mara ya kwanza nilivyoshonwa nilivojifungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.