Mi sihitaji kutoa mimba nataka kuzaa mimba nikitaka kutoa natumia musoprosal na vdonge flan nimevisahau jima na kunadawa ya kichina jina siwezi kuliandika.hapa nimeomba mnisaidie nimepata mazara gan na nitafanyaje kujikinga na kiumbe that all kutoa mi dawa nyingi nazijua mkuu.msaada wenu please
Hapana chaki sitaki kutoa but niliumwa tumbo nikawa nahara nikanywa flagily baada ya kumaliza doz niliona natokwa uchafu wa haunuki ndio nikanunua cpro ili nikaushe ule ute sasa baada ya 2 wk nikagundua niko pregnant.sasa zile dawa zitanizuru vp na kiumbe na nifanyaje kujinusuru hayo mazara?
Habari wakuu,
Samahani, mi nauliza, je, kuna madhara yoyote kwa mwanamke mwenye mimba changa kama wiki moja kutumia hizo dawa? Pia kutoka na vidonda mdomoni (ukosefu wa vitamin B nadhani) kuna madhara yoyote kwa mjamzito wa mimba ya wiki moja?
Msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.