Recent content by Madame daynes

  1. M

    Mswada wa sheria ya kuwabana watengeneza filamu (movies), wapelekwa Bungeni kwa hati ya dharura.

    Na wewe ndo wajinga walewale,wewe ulichoona Hollywood na kukifurahia unaamini hayo ndo maadili na sisi wote tuamini hivyo km unavyofikiri wewe. Hivi Bollywood nako si kunatengenezwa filamu!?? Ulishawaona wahindi wanavaa km wasanii wenu wa bongo movie!?? Tatizo mnapenda kujifungia ndani ya box...
  2. M

    Shinyanga: Mume mbaroni kwa akituhumiwa kumuua aliyemfumania na mke wake

    Hapo kuna mawili,iwapo mahakama itajiridhisha kuwa hakupanga kwenda kufumania,atashitakiwa kwa kuua bila kukusudia kutokana na hasira za ghafla. Lkn km alipanga kwenda kufumania,ina maana pia alijiandaa kuua km ilivyotokea. Maana km alijua mkewe yupo mahali anatafunwa,angeweza kwenda police au...
  3. M

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Kwani unataka kujua km alijifungulia hapo au unatafuta namna ya kumpata!?? Pale hata km hakujifungulia hapo,kwa vile aliwahi kutibiwa hapo basi na details za mahali anapoishi zipo. Ukimpata yeye mambo mengine yatafuata!!
  4. M

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Mkuu huyo mtoto siyo wako,na uliambiwa ki-utu uzima kuwa mtoto siyo wenu ni wake. Lkn amini huyo mtoto ana baba yake. Lkn pia km unataka kujua anapoishi nenda mpaka Mt. Meru hospital kwa vile unajua siku alizolazwa hapo utapata details zote za sehemu anapoishi hadi kitongoji.
  5. M

    Asante M-PESA kwa gawio

    Amekufahamisha tu jinsi ya kupata gawio ni hiari yako kuweka au kutoweka.
Back
Top Bottom