"NYUMBA MLANGO NA KUFURI" Haya ndiyo Maendeleo aliyoleta Limbu na Chama chake kwa wananchi wa Magu" "TUNAMTAKA MBUNGE ATAYEKUWA NA SULUHISHO KWA MATATIZO KAMA HAYA"
Daaaaaa" Tunahitaji mtu anayeifahamu vema Magu na matatizo yake, si vibaya tukiweka na kigezo cha uzoefu wa kuishi Magu angalau experience isiyopungua miaka 5 mfulululizo, mana wapo wanaojiita wa Magu kumbe wana miaka 20 hawajaiona Magu na hawafahamu matatizo yanayoikabili Magu, tunamhitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.