Hiii Wilaya kama imelaaniwa kuna jamaaa mmoja anatwa bhange anasumbua watumishi mpaka basi yeye anakula na mademu zake tuuu na kuwaoa vyeo, amesharipotiwa sana tamisemi kwa kukataa kusaini uhamisho wa wafanyakaxzi.
Jamani mimi ni mwalimu katika shule X iliopo mkoa Y.
Ninahitaji kujiendeleza kielimu kuchukua diploma lakini naingia kwenye mfumo wa Wizara ya elimu "tcm.moe.go.tz" siwaelewi.
Kwanza wameweka limitation ya mwaka mimi niliajiriwa kitambo kidogo na wenyewe wanataka mtu awe amemaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.