Recent content by Madabwada

  1. Madabwada

    Morogoro: Mgogoro wa Wakulima na Wafugaji Itete, Malinyi

    Juzi tar 31.12.2021, DC Masele kaenda eneo la tukio kwa kificho huku akiwa kapanda gari ya takukuru na kukaa/kujificha siti ya nyuma.
  2. Madabwada

    Morogoro: Mgogoro wa Wakulima na Wafugaji Itete, Malinyi

    Sasa ni kheri walishe kwa ustaarabu kuliko kulishia kwa nguvu huku mkulima akiwa amefungwa kamba mikononi, kukalishwa chini na akishuhudia live mazao yake yakilishiwa na yeye asifanye lolote!
  3. Madabwada

    Morogoro: Mgogoro wa Wakulima na Wafugaji Itete, Malinyi

    Toka kifo kimetokea na vurugu kufanywa na vijana, DC hajafika eneo la tukio kutoa pole kwa wafiwa, au kuangalia uharibifu mpaka leo hii?? Anaogopa nini?? Alishaonywa mara kadhaa kwenye mikutano ya wananchi lakini hakusikia, leo mauaji ya mkulima yametokea anapotosha habari, anamdanganya nani...
  4. Madabwada

    Morogoro: Mgogoro wa Wakulima na Wafugaji Itete, Malinyi

    Inasikitisha kuona kuna upotoshaji mkubwa (misinformation) unaoendelea kupitia ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Na sasa DC amefikia kumdanganya hata RC morogoro juu ya mgogoro huu aliofuga mwenyewe tangu mwezi wa 6 mwaka huu! Lakini mkutano wa Mhe. Mbunge Mgungusi uliofanyika jana uliweka bayana chanzo...
  5. Madabwada

    Tanzania inafanya kile kinachofanywa na raia wa Afrika Kusini kwa Waafrika wenzao kutoka Mataifa mengine

    Nyang'au una hasira sana, si urudi kwenu Kenya tu. Kulialia hapa hakukusaidii kitu.
  6. Madabwada

    TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

    Mkuu nimekuelewa kwa 101%. Angalia points zako kwa jicho la 3. Hata hivyo tukubali tu kutokubaliana. Let's close this discussion.
  7. Madabwada

    TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

    Who told you that anonymity is only for the live beings? Hao verified members ni anonymous? Watu wengi tu humu wana fake ids lkn wako known to their few confidants, and that's why unaona marehemu alikuwa anakutana na members wengi tu wa JF na bado alikuwa anonymous to the rest. Kwamba now she...
  8. Madabwada

    TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

    Embu kuwa na staha walau kidogo tu kijana, kwakuwa Dena ni marehemu sasa ndiyo privacy yake ina cease? Jamii yetu bado inaheshimu utu, msikimbilie kwenye huo upumbavu wenu. Wewe mbona haujaanika picha yako hapa? Unasubiri nn?
  9. Madabwada

    Wakongwe Forum

    Oh Okay!
  10. Madabwada

    Wakongwe Forum

    Oh okay!
  11. Madabwada

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom Tanzania nimetuma hela kwenda CRDB tangu 8-12-2015 lakini mpaka leo haijafika kwenye akaunti husika. mhamala namba BW89KT189. Naomba nijulishwe kama imeshafika au vinginevyo irudishwe kwenye account yangu ya m-pesa.
  12. Madabwada

    Tigo kuweni makini na Tigopesa yenu

    aisee, nami yamenikuta leo. nimetuma hela 1M kwenda CRDB tangu tarehe 8-Dec-2015 mpaka leo chalii. nimeongea na huduma kwa wateja naambiwa hela imekwama haikwenda. sasa imekwama wapi nami haijarudi katika salio langu?? imeambiwa nisubiri masaa 24, lkn hayo masaa 24 nadhani itakuwa siku 3 au 4...
  13. Madabwada

    Its official: Tanzania's mobile money market overtakes Kenya's

    its sad that you are totally misinformed. mobile money business (also known as mobile finacial services) follows same banking regulations, hazi operate bila ya kuwa na leseni ya BOT na trust account kwenye commercial banks. tenga muda kidogo na ujishughilishe kusoma hata kwa kupitia...
  14. Madabwada

    Huyu mtu ni mara ya pili, anakuja room hivi

    inawezekana sana. tatizo wanawake wengine wamekariri kwamba wanaume wote baba yao ni mmoja, la hasha! wanaume wanatabia anuai sana: - kuna wenye kinyaa ... hawapendi chovya chovya. - wasiopenda kuku mdondo ... ila wanapenda kuku wa kienyeji, shurti atoke jasho kwa kumkimbiza ndo aone radha ya...
Back
Top Bottom