Hakuna ukwel wa jambo hilo kwani hata wanawake nao wana matatizo ya uzazi wengine mirija imeziba etc ukitaka kujua hilo muulize Dk mwaka akupe elimu zaidi matatizo ya uzazi ni %kubwa kwa akina mama
We sikiliza umenichosha kwa barua yako isiyokuwa na mashiko huo utafit ulioufanya ni batili na hujielewi unachosimulia
Kwanza umesema mungu anakaa juani na binadamu yeyote hawez kufanya utafiti. Hata kwa kiona mbali
Je wewe ni nani au c binadamu uliosema hawawez kufanya utaft? Niambie sasa ww...
Je kweli mungu ni mkubwa kama vitabu vya dini vinavyosema?
Ukisema mungu mkubwa maana yake anafanana na kitu
Kama vile (mt everest) mt Kilimanjaro etc. vitabu vinasema mungu ana uwezo kuliko vitu vyote
Je anaweza kuumba kitu cha kumzidi yeye mungu na kama anaweza kuumba kitu cha kumzidi bac...
Mlizoea kuiba mwenye mali kaja mmeiba sana sasa mwisho nchi imerudishwa kwa mwenye nchi wengine waligewa wakawapa wazungu wakachimba madini mkataba miaka mia na kutiachia mashimo SASA HAPA KAZI TU
Kwan hao pana road hawana wazaz c wanao wakulaumiwa wazaz wao na humhum jf kuna wazaz wanaojua kuwa kijana wake ni panya road c kwamba tuiachie selikar tu tuwakanye watoto wetu
Kwel nilkuwa miad na dem baada ya kumwona mtandaon mzur kwel tukafanya miad tukakutana chaka lakini alivyokuja tofaut nilivyomwona mtandaon nikamuuliza kwani ndo wewe kasema hajajipodoa nikijipodoa nakuwa babkubwa ikabid nimrudishe bila kuingia uwanjani kwel mkuu hii c tabia nzur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.