Recent content by macmeshack

  1. M

    China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    Mkuu, je bidhaa kufuata China au kununua ktk tovuti kama Alibaba.com ipi gharama ni nafuu?
  2. M

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Mkuu nyumba yangu rangi inabanduka afu chumvi zinapanda ukutan. Nifanyeje kuzuia?
  3. M

    TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    Mimi nilitapeliwa elfu 30 na mtu aliweka tangazo la kutengeneza app. Iliniuma sana maana nilikuwa nahitaj sana app kwa ajili ya kuniingizia kipato. Mungu atanipigania juu ya huyu tapeli
  4. M

    Fahamu siri kubwa iliyopo nyuma ya namba 13

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. M

    Story behind your date of birth

    28 julai
  6. M

    Platinum credit mikopo nafuu kwa riba ndogo kabisa

    Nina shamba lenye hati ya kimila. Je naweza kopea?
  7. M

    Nyumba inapangishwa Dodoma

    Chumba - self contained, sebule na jiko. Kodi tzs 150,000 kwa mwez.
  8. M

    Tuna kutafutia wateja ndani ya dakika kwa bei nafuu

    Napangisha nyumba servant quarter Dodoma. Njoo pm
Back
Top Bottom