Tatizo wanatumia biblia km muamvuli wa kupitisha madudu yao....nahisi ndo mana wameanmua ivo.....dini saivi ni sehemu ya ulaji....we mchungaji,nabii,wainjilisti,wanamiliki mi mali yote ile haaaaaa kuna kitu... Bora ije hivohivo na huku pia
Mtolea alichohiji ndivo ilivo kichwani mwa wanafunzi wengi wanaohitaji mkopo......sasa nashangaa wazir anasema pesa ni finyu kukidhi wanaohitaji,then ye raisi anasema pesa ipo ya kutosha......mi sielewi kwakwel
Michuano ya kombe la dunia itarushwa live kupitia chanell ya taifa kwa kushirikiana na TV1...
Nani kafurahishwa na hili[emoji41] [emoji41]
TBC1 itaonesha bure michuano ya kandanda ya Kombe la Dunia. Michuano hiyo itakayofanyika nchini Rusia itafanyika kwa muda wa mwezi mzima kuanzia tarehe...
Ila ni kweli.....miradi mingi ipo kwa kuingizia kipato serikali ila sio kuwasaidia wananchi.....wapunguze....ila wakipunguza sana itakua fujo pale...siku kazaa watu watanyea
Kuna jamaa angu ndo anasubiria iyo kitu tangu 2016...waliambiwa wanaanza mwezi wa 3 huu mwaka hola...afu tena nasikia ayo tena...manina wallah shuguli kwelkwel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.