Recent content by mack4444

  1. M

    Tofauti kati ya wanasiasa wa Tanzania na wanasiasa wa Ulaya

    Kumekua na kasumba wanasiasa wa bongo wanapopata wakitakacho husahau kapisa kuwapigania wananchi wa chini na kujali sana matumbo yao, hupenda kuongea sana kwenye majukwaa lakini kutekeleza ndo kasheshe pingi warudipo majukwaani kwa kua wanajua sisi tunanjaa wanatudanganya na vitu vidogo kama...
  2. M

    Hivi tatizo la ajira nchini

    usilie mgeukie Mungu wako kwa moyo wote bila makunyanzi
  3. M

    Waraka wa ajira umetoka?

    daa sina iman maana kwa sasa uchumi umetikisika kwa kiasi kikubwa alafu kwa sasa serkl imejikita kwenye mitihan ya darasa la saba, form two, form four so nazani wenda mchakato huo ukaanza baada ya hili gurudumu ila tusubiri maajabu ya Musa yaweza tokea wenda Mungu kasikia kilio chetu
  4. M

    Kuongezeka kwa ombwe kubwa la vijana wasio na ajira; Nini mtizamo wako ifikapo 2020?

    hali ya ongezeko la vijana wengi waso na ajira nchini inazidi kuongezeka kila machweo hata wale walotegemea kuajiriwa na serikali kumetanda kiza nene wasijue hatima yao baada ya ahadi waloahidiwa kupita je kama hizi ahadi ndogo ndogo hazitimii kwa wakati uloaidiwa kwenye mass media je hizo...
  5. M

    Rais Magufuli Kama hautabadilika na Style yako ya Uongozi, 2020 Inakuhusu

    sasa kila navyofanya tathimi na kila mtu anasema hajampigia kura sasa nn alopigia kura ???
Back
Top Bottom