Hata mimi baada ya rais kuapisha wateule jana nikahisi kabisa kigogo anatumiwa na serikali kuwahamisha watu kwenye mambo ya msingi na kujadili upuuzi na kwa 100% wamefaulu.
Yaan sisi mtaan kwetu mwenyekiti wetu wa mtaa miaka 15 tunamchagua yeye akitokea chama pinzani tena alikuwa anashinda kwa kishindo na tulikuwa tunahamasika sana kupiga kula kwa sababu yake kwakuwa alikuwa msaada mkubwa sana kwa wananchi wake anaotuongoza maajabu juzi tu hapa kahamia chama...
Hao wachina wa kuwaangalia sana katika mikataba yao leo hii ukienda Zambia utazani uko China wamehodhi vitu kibao vya wa Zambia sababu ya madeni wanayowadai
Kweli mkuu takriban miaka 6 imepita kuna jamaa tulikuwa tunamuona uwanjani shule ya msingi k/nyama kisiwani akiokota makopo anakuja kwa mapusha pale uwanjani ananunua ganja anavuta anaondoka zake end of day kaja kuchomolewa mtu na manjagu pale uwanjani inasemekana jamaa ni mtu wa kazi wamefanya...
Daah!! Hatari sana nilienda kutembea nyumbani kidogo nikakuta afisa elimu wa wilaya yetu kapelekwa shule moja huko vijijini akafundishe sasa sijui atafuatiliaje matatizo ya shule zingine ikiwa yeye mwenyewe tayari anawajibu wa kuingia darasani kila siku
Mara nyingi bundi akija nyumbani kwenu akakaa juu ya paa au kama kuna mti jirani na nyumba yenu na akalia ujue kuna mtu atakufa kwenye familia yenu sasa hapo bungeni wajiandae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.