Kwa kipind kirefu sasa nimemis bunge live, wakubwa wakasema bunge litarushwa usiku ili mchana tufanye kazi, ok ni mawazo mazuri maana watanzania ni wasikivu mno.
Kinachonishangaza wale waliosema tuangalie bunge usiku il mchana tufanye kazi wanazunguka huku na huko tena mchana kweupeee...
Mtumishi wa mvngu bishop gwajima, salaam, na pole kwa kaz uifanyayo najua hustahil pole kwa kaz hiyo maana ni mungu kakutuma ila kwangu mm naomba nikupe pole.
Nina swali kwako mtumish, unapolichukua swala la makonda na kulifanya ajenda kuu ndani ya mahubir yako lengo lake ni nn?
Mh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.