Recent content by machila

  1. machila

    Ni sahihi Mkuu wa Majeshi(CDF) kufanya Press conference?

    Vp katanganza kutia nia Sent using Jamii Forums mobile app
  2. machila

    Ni sahihi Mkuu wa Majeshi(CDF) kufanya Press conference?

    Kwani huyo sio ndugu na bwana yule???? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. machila

    Kwa hili la bunge live natamani lifanyiwe marekebisho

    Kwa kipind kirefu sasa nimemis bunge live, wakubwa wakasema bunge litarushwa usiku ili mchana tufanye kazi, ok ni mawazo mazuri maana watanzania ni wasikivu mno. Kinachonishangaza wale waliosema tuangalie bunge usiku il mchana tufanye kazi wanazunguka huku na huko tena mchana kweupeee...
  4. machila

    Katiba inakupa uhuru wa kukosoa/kutoa maoni haikupi uhuru wa kutoa lugha za kuudhi na kuchonganisha

    Kumbe viraza wengi eee..!! Mweee Sent using Jamii Forums mobile app
  5. machila

    Tuache maigizo Magazetini, utakamata vipi makontena ambayo yametunzwa hapo kihalali?

    Nilikuwa na stress sana ila vmenifanya nicheke hahahahaha vmekamata nn?
  6. machila

    Kwa kilichofanywa na CCM Dodoma; Je, CHADEMA mnaweza?

    Kipi kipya kufukuza watu au? Kupitisha azimio la mwenyekit aspingwe ndan ya chama Anna kipya zaid
  7. machila

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Kwan ye ndo mkaguzi wa vyeti? Haya na kuyaambia mapepo yakamwungie makonda ni utumish wa WAP huo?
  8. machila

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Mtumishi wa mvngu bishop gwajima, salaam, na pole kwa kaz uifanyayo najua hustahil pole kwa kaz hiyo maana ni mungu kakutuma ila kwangu mm naomba nikupe pole. Nina swali kwako mtumish, unapolichukua swala la makonda na kulifanya ajenda kuu ndani ya mahubir yako lengo lake ni nn? Mh...
  9. machila

    Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

    We umeiba vingapi
  10. machila

    Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

    Ila ndo ukweli huo
Back
Top Bottom