Recent content by machashi

  1. M

    Askofu Gwajima ndiye kiongozi pekee aliyebaki na msimamo usioyumba kuhusu UVIKO 19 na chanjo zake

    Wengi walikuwa wanajipendekeza yaani wanafakiki na inadhihirika sasa
  2. M

    Hizi ndizo sababu za wanasiasa wengi kudai katiba mpya; kuipinga

    Hizi ndizo sababu za wanasiasa wengi kuidai katiba mpya/ kuipinga Ni wazi na kweli kabisa kwamba watu wengi hususan wanasiasa, wamekuwa wakiidai katiba mpya ya tanzania kwa nguvu zote. Hata hivyo, itakumbukwa wakati Samia anaapishwa kuwa Rais, alisema anajua kuwa miongoni mwa mahitaji ya...
  3. M

    Hizi ni sababu za wanaotaka Katiba Mpya Tanzania

    Hizi ni sababu za waotaka katiba mpya Tanzania Utawala bora na utawala wa sheria ni upi? Ni maswali ambayo hujiuliza watu wengi nchini Tanzania na ni moja ya vilio vya baadhi ya Watanzania kwamba kunakiukwa katiba ya nchi. Mifano ya uvunjifu wa katiba ni suala la wabunge 19 wa Chadema ambao...
  4. M

    Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

    Aliacha jeshi akiwa na cheo cha kapteni na alishiriki Vita ya Kagera.
  5. M

    Kiroho zaidi: Rais ajaye baada ya Mama Samia,atakuwa mwanamke pia

    Umekuwa kama shehe yahya hussein, alimtabiria mama Samia mwaka 2006 bila yeye mama kujijua.
  6. M

    Mbunge CHADEMA: BAVICHA waache mihemko ya kisiasa, wabuni mambo ya kuwakwamua kwenye umasikini

    Kwani hawa wabunge wapo? Nilisikia wamevuliwa uanachama.
  7. M

    Profesa Lipumba ashangazwa na Rais Samia kumuachia mtu aliyekula njama katika wizi wa shilingi zaidi ya bilion 300 za Escrow kwa kutoa bilion 26 tu

    Hapana sio akina Seth, alichosema huyo atalipa b.26 zilizobaki atalipa nani? Kwa maana nyingine wasakwe waliogawiwa na wote warudishe mgao, je itawezekana?
  8. M

    Profesa Lipumba ashangazwa na Rais Samia kumuachia mtu aliyekula njama katika wizi wa shilingi zaidi ya bilion 300 za Escrow kwa kutoa bilion 26 tu

    Hili la kigogo wa Escrow hata mimi najiuliza, analipa bilioni 26 kati ya bilioni 350 zilizobaki atalipa nani?
  9. M

    Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

    Bila shaka swali zito kwa Mwamposa anayetoa majini, Mtume Mwingira, Nabii Melisa, Mzee wa Upako, nabii Geodavie, kuhani Musa na wengine wengi wanaosema wana miungu wao wa kutoa majini.
  10. M

    Namtafuta Mchungaji Kibona

    Mchungaji Kibona ni rafiki yangu. Alikuwa mchangiaji sana humu na nafahamiana naye. Namtafuta sana sijamuona siku nyingi, miaka zaidi ya mitatu. kama yupo anitafute anajua namba zangu.
  11. M

    Je, huwezi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi mpaka uwe Balozi?

    Bashiru alipewa ubalozi kwa sababu awali hakuwa mtumishi wa serikali, hivyo JPM alifanya hivyo kuhalalisha uteuli huo
  12. M

    Ni kwanini mji wa Moshi hauna taa za barabarani za kuongoza Magari?

    Huyo meya mwenyewe alikataza watu kuvaa barakoa; atakumbuka taa za barabarani huyo? viongozi wengine hovyo sana.
  13. M

    Tanzania ina mikoa 26 na kila mkoa una wazee. Kwanini Rais wa JMT azungumze na wazee wa Dar pekee?

    Huu ni 'utamaduni' wa CCM tangu enzi za Mwalimu Julius Nyerere wanazungumza na wazee wa Dar. Hata Mwalimu alipokuwa akitangaza vita ya Kagera nakumbuka alizungumza na wazee wa Dar pale Diamond Jubilee. Ni utamaduni ambao wengi tunasema CHANGE lakini wenyewe hawataki. Wanabaki na mawazo yaleyale...
  14. M

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Huyu ni mvunja katiba ya nchi. Ndio maana amejiwekea kinga
Back
Top Bottom