Wadau nisaidieni wapi naweza pata vifaa vya bakery kama Oven kubwa, Mixer na vingine vinavyo hitajika kwe biashara hii. Bila kusahau ushauri kutoka kwa yeyote mwenye experience na biashara hii.
Asanteni.
Mimi ni kijana wa miaka 24, nimemaliza chuo na kufanikiwa kupata diploma ya Clinical Medicine natafuta kazi mahali popote Tanzania nina uzoefu kidogo chini ya miezi 6. Kwasasa nipo dar-es-salaam, Mawasilino; 0744239412.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.