Wewe ni Mjinga tu, Umetokgoza wanawake 10 tu ushahitimisha kuwa walioko Kahama ni Malaya. Unauhakika dada zako na mama zako wadogo na wakubwa hawapo Kahama ?? Acha umalaya
Nimekuja kuamini kuwa Kwa kusali tu hakuna nchi itakayokbolewa. Mungu ni Mungu wa Vita, Hata waisrieli walipigishwa vita na yeye akaja kuingilia kati.
Wapumzike kwa Amani wote waliokufa wakiwa wanapaza sauti zao.
Promo ni nyingi! Jamaa si mara ya kwanza. Alfu anaandika maneno ya kimahaba si umwambie huko private au basi mwambie wazi wazi mkiwa mbaonana. Naona kama ushamba
Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ?
Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi).
Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.