Recent content by Mac Father

  1. Mac Father

    CCM Zanzibar yatoa indhari kwa SMZ na SMT

    Too late Mliona raha Kubaka Demokrasia
  2. Mac Father

    Polisi wachemka, CCM waandamana Mwanza

    duuh ishu kumbe si maandamano ni kulinda maslahi ya mtukufu....... basi tutaandamana kumsifia mtukufu......
  3. Mac Father

    Lissu, Mhariri wa Mawio wafikishwa kizimbani leo

    Tutabanana hapa hapa Tanzania ni yetu pia hatuna Nchi nyingine Mabadiliko ni lazima sio ombi..... Leta Defender, leta wajeda, leta wagambo tuko tayari kujitoa sadaka........
  4. Mac Father

    Waziri wa viwanda: Bei ya sukari isizidi sh 2500

    duh kweli free democracy system ohh samahani nimekosea free market system
  5. Mac Father

    MWANZA: Mbowe, Patrobas, Mwakajoka na wanachama kadhaa wa CHADEMA wakamatwa na Polisi

    Haki milele haipokonywi kwa mtutu na kukundamiza demokrasia kuna mwisho wake. Mugabe, Museveni ,Kagame n.k.... wanaogopa kuachia madaraka kwa maasi waliyotendea wananchi wao. Milele Tanganyika itasimama no matter what ?
  6. Mac Father

    Taratiiibu nimeanza kumuelewa Mama yetu kwanini hakuchangamkia kampeni!!!

    Bird of the same feathers flock together
  7. Mac Father

    Ulinzi mkali kwa Naibu Spika waimarishwa

    Ukiwa na walinzi wengi ndio unapata amani?
  8. Mac Father

    Maajabu ya wabunge wa CCM

    Duuh kwa hiyo na Spika Kakatwa cz na yeye ni mbunge.
Back
Top Bottom